Ukitaka kujipatia Nakala yako ya mnazi j ALBUM ni kufika studio aiseee.Chugga one

Monday, 4 May 2015

Ni nakala na album ya mnazi j mwenyewe akiwa amemwaga kazi
mpya 2015 ni wewe kujipatia nakala yako ambayo itapatikana
mnaz j Records.Nikimaaanisha ofisini wazawa.
Big up to all who gave me sappot ya kumaliza kazi yangu,
akiwemo,Ma producer Imma touch,Jaffet,Neno.Halla ma boys.
Ni album inayozungumzia hali ya maisha na shukrani kubwa kwa
wazazi.No love stories sorry guys....................................
Kuna baathi ya ngoma toka kwenye album ambazo utazipata kupitia
hulkshare ya mnazi kama.asante wazazi,heshima na Tanzania yetu.


0 comments:

Post a Comment

 
© Copyright 2010-2011 Mnazi Record All Rights Reserved.
PROPERT OF MNAZI RECORD | Developed by ASILI YETU TANZANIA | Powered by Blogger.com.