mziki ni kazi sio mapenzi

Tuesday, 12 May 2015

Hua inatoka kwa watu baathi ambao wanajituma na kufanya mambo mazuri sana.
ukiangalia watu wengine hufanya mziki kama fun ya mapenzi.
Ni maandishi na matamkwa yake mnazi j.Hua watu wanafanya mziki kama
unavyokwenda buchani kukatiwa nyama.Mziki ni kazi kama kazi nyingine.
Wewe mwanamziki fanya kazi kama maisha yako ya everdayyyyyyy wazawa
Akamalizia kwa kusema music is my passion na ni kazi kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
sanaaaaaaa kwangu.love all ya.

0 comments:

Post a Comment

 
© Copyright 2010-2011 Mnazi Record All Rights Reserved.
PROPERT OF MNAZI RECORD | Developed by ASILI YETU TANZANIA | Powered by Blogger.com.