Kitu kipya kutoka kwa regge Voice wa ARUSHA TOWN.Ngoma inaitwa Happy,
Ni kitu utakachokipata next week kupitia blog ya mnazi J record Arusha moja.
Utajipatia na Nyimbo mpya zilizo rekodiwa Mnazi ambazo zimekuwa tishio moja
kubwa street Arusha.Producer ema akifanya kazi moja ya ziada mnazi J records
na kuwaambia watu wajiandae na mapini mapini kwa kiswahili fasaha nyimbo
kabambe.
Kazi mpya ya regge kutoka regge voice Arusha.Soon kurushwa hewani.
Monday, 2 February 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment