NGOMA MPYA KUTOKA MNAZI J RECORDS IITWAYO ASANTE WAZAZI.

Wednesday, 21 January 2015 | 0 comments

http://www.hulkshare.com/motechjames
Ni ngoma mpya kutoka kwa mnaz j iitwayo asante wazazi.Pakua Ngoma mpya hiyo kupitia link hapo juu.

MNAZI ATUPIA HEWANI STUDIO.KARIBUNI WOTE

Monday, 19 January 2015 | 0 comments

KARIBU MNAZI J RECORD UJIPATIE TRACK YAKO POA.......
NI BAATHI YAMAZINGIRA NDANI YA MNAZI J RECORDS YALIYOTUPWA KWENU
NA MNAZI MWENYEWE


















MNAZI J KUTOA ONYO KWA WATU WAARIBIFU.

| 0 comments

Usikubali kupewa Ngoma yoyote ya Mnazi isiokuwa na nembo Hii..Funs endapo utafika Mnazi J record na ukawa umerecord Ngoma yako na kumalizika, utajipatia Cd Original ya mnazi ikiwa na Nembo kama ilivyo hapo Chini.Popote uendapo redioni ama sehem nyingine yoyote huta weza kupata nembo kama hiyo.
Kuna watu baathi wameamua kutoa nembo kama za mnazi na kuprint Cd kama ya mnazi.Haki zote zimeifathiwa endapo utakutwa na Cd ya mnazi (Feki) Utachukuliwa hatua ipasavyo.
Kumbuka kuwa Mnazi ina Cd mbili.Original Cd kama (Mastering) na Raugh Cd kama(Mtu kaimba siku hiyo na kuchukua kazi yake siku hiyo hiyo)Kuwa makini Sana kwa wale watu wapenda kupitia Migongo ya wenzao.
By;
Mnazi.

                                                            (ROUGH CD)NA (MASTERING CD)


                                                                                                                

Kwaya ya vijana TPRI wakiwa wamemaliza Kurecord Album.

Sunday, 18 January 2015 | 0 comments

Ni kwaya ya vijana ya Mjini Arusha TPRI pande za ngaramtoni kibaoni,wakiwa ndani ya voco room kwa pamoja baada ya kufanya kazi nzito ya Album yao ambapo itakuwa tayari next week na itazinduliwa mwezi wa pili.Je wataka kujua nini vijana walicho kifanya.Utapata nyimbo yao moja kupitia hulkshare.com.Ni wewe kufanya hivi tu.http://www.hulkshare.com/motechjames  na kujipakulia ngoma yako nzuri ya kwaya na uburudike.
http://www.hulkshare.com/motechjames

Pia unaweza kujipakulia Ngoma za Mnazi j Records Kupitia http://www.hulkshare.com/motechjames

| 0 comments

Pia unaweza kujipakulia Ngoma za Mnazi j Records Kupitia http://www.hulkshare.com/motechjames
Kazi kwako wewe ulie mshabiki wa mnazi na pia unakaribishwa studio uweze kufanya kazi ilio bora kama uisikiayo hapo.http://www.hulkshare.com/motechjames

Siku Ikifika.Ni nyimbo mpya kutoka mnazi J records.Jipakulie kupitia Reverbnation

| 0 comments

Posted a new song: "Siku Ikifika" http://www.reverbnation.com/q/5i6b50
Ni nyimbo mpya na nzuri kutoka Mnazi J Records from A town unaweza kujipakulia moja  kwa moja kutoka hapa.Ni ujumbe mzuri alioshusha Mnazi na vina vilivyokamilika akielezea jinsi siku ikifika akakamata mapene(pesa)Yes kama wewe ni fun wa mnazi unaweza sikiliza ngoma poa na yenye ujumbe mzuri.Kazi kwako Mtanzania wetu.Pata vitu.

Unaweza sikiliza nyimbo za mnazi kupitia.Reverbnation.com

Friday, 16 January 2015 | 0 comments

http://www.reverbnation.com/musician/mnazi?profile_view_source=header_icon_navhttp://www.reverbnation.com/musician/mnazi?profile_view_source=header_icon_nav

Unaweza sikiliza baathi ya Nyimbo Kupitia Reverbnation .com,Nyimbo ambazoMnazi
ameweza kuziweka.Na pia kama utaitaji baathi ya beats kutoka mnazi unaweza kujipakulia,
kwa bure kutoka kwenye Revebnation ya mnazi.Ukitaka kumpata mnazi vizuri unaweza
kubonyeza hiyo link hapo juu na utapelekwa direct kwenye profile ya mnazi na kuweza
kupakua ngoma yoyote uipendayo na iliyotoka kwenye STUDIO YA MANAZI.
Kazi kwako wewe ulie fun.

Producer Emanuel Akielezea Media Kuhusu kazi za wasanii.

| 1 comments

Producer Emanuel kutoka Mnazi j Records akielezea kazi nzito ambazo zinafanyika.
Ni shughuli nzito ambazo zinahitaji akili nyingi na competion kwa wingi,Emanuel
akielezea midia amesema kuwa mziki kwa ujumla unahitaji kazi nzito na yaziada,
kutokana na kuwa na competion kubwa.Amesema inahitaji kujituma na pia kuweza,
kumfundisha msanii, kwakuwa wasanii wengi wa sasa hawana vigezo na note nzuri,
za kuimba vizuri.So humchukua mda mwingi kuweza kumuweka msanii wa kawaida,
especially kwa underground kuweza kuimba vyema.Ni mahojiano mafupi na Producer,
Emanuel kutoka Mnazi j Records from A city.

Maojiano ndani ya Idea redio na ngoma mpya iitwayo kamoyo.

| 0 comments

Wasanii kutoka Ngaramtoni pande za kibaoni wakiojiana na kijukuu
wa Idea redio kuhusu ngoma yao iitwayo Kamoyo inahusu jinsi mpenzi,
alivyo muumiza moyo wake.
Ni kazi ambayo imefanywa na producer emanuel kutoka MNAZI J RECORDS,
Pande za ngaramtoni mail sita.
 
 
© Copyright 2010-2011 Mnazi Record All Rights Reserved.
PROPERT OF MNAZI RECORD | Developed by ASILI YETU TANZANIA | Powered by Blogger.com.