MTUMISHI WA MUNGU TOKA MNAZI WILL JOHN AZUNGUMZIA KAZI ZA MNAZI

Friday, 31 July 2015 | 0 comments

Ni mtumishi wa Mungu anae sapotiwa na nguvu kubwa ya kinabii kutoka Ngurumo ya upako,
WILL JOHN ambaye alipokea uponyaji katika madhabau ya Ngurumo na sasa ameamua kumtumikia, MUNGU  JEHOVA SHAGI kwa njia ya uimbaji.Pia unaweza pata kazi zake
kupitia blog ya mnazi j records ambapo utapata kazi zake nzuri sana kupitia hulkshare ya mnazi.
Jipatia kazi nzuri ikiwemo albino, moyo tulia na nyinginezo nyingi.

NGURUMO YA UPAKO KUTOA TRUCK TOKA MNAZI

| 0 comments

Ni baada ya Mnazi j Records kupata wasanii toka Nrurumo ya Upako kwa Nabii DR.GEO DEVI,
Palikuwepo na Ngoma kali Ambazo zitafanya vizuri kutokana na Neno la kinabii.
Utaweza pia kuzisikia kupitia 99.2 N.Y.U Redio Kisongo.

NGURUMO WA UAPAKO JOH DEVI

| 0 comments

Ni baada ya kurecords kazi nzuri kupitia Watumishi wa Mungu toka Ngurumo ya upako,
Kanisa la mtakatifu naabii JOH DEVI.Sikiliza kazi nzuri kupitia Redio ya Ngurumo wa upako,
ya Joh devi kisongo Arusha Tanzania.
Ni Kazi nzuri kutoka mnazi J records pande za kwa Idd mail sita, Ngaramtoni.
Karibu mdau wa mnazi ufanye kazi nzuri na safi zisizokuwa na wasiwasi.Ni wewe tu.
 
© Copyright 2010-2011 Mnazi Record All Rights Reserved.
PROPERT OF MNAZI RECORD | Developed by ASILI YETU TANZANIA | Powered by Blogger.com.